Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..





BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Shukuru (Guest) on March 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Miriam Mchome (Guest) on February 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Samuel Were (Guest) on February 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on January 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Leila (Guest) on January 8, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Faith Kariuki (Guest) on November 29, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Furaha (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Frank Macha (Guest) on November 27, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fadhila (Guest) on November 6, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Maimuna (Guest) on November 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Francis Mrope (Guest) on November 6, 2016

🀣πŸ”₯😊

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on October 5, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Kawawa (Guest) on September 26, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Kitine (Guest) on September 15, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on September 13, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on September 6, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Issa (Guest) on August 26, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on August 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on June 10, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Samuel Omondi (Guest) on June 4, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on May 27, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Kahina (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Mrope (Guest) on March 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on March 10, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on March 1, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Carol Nyakio (Guest) on February 6, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on January 4, 2016

😊🀣πŸ”₯

Ruth Mtangi (Guest) on December 31, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kassim (Guest) on December 27, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Mrema (Guest) on December 19, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Josephine (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Biashara (Guest) on December 1, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on November 23, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Malima (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nora Lowassa (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Emily Chepngeno (Guest) on October 25, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on October 17, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Umi (Guest) on October 8, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Njeru (Guest) on September 28, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on September 26, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on September 24, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on September 22, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on September 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on August 5, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on July 29, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on July 10, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on July 5, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on June 16, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rukia (Guest) on April 16, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ali (Guest) on April 9, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on April 7, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More