Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.
Masai: kwanini Ng'ombe ngali?
Dereva: kwa sababu ni mkubwa zaidi ya mbuzi
Masai: umepata..na mbusi na kuku ipi ngali
Dereva: ni mbuzi kwa sababu nae ni mkubwa kuliko kuku.
Masai: Umepata..
Masai: sasa me nimekwenda kule mwenge kwa ngali kubwa nikalitoa sh. 500 hii yko ndogo unasema nikupe 40,000 wewe acha wizi.. Nitakupa 250 Tu..wee acha lbia morani…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on September 30, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 16, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on August 22, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Mbithe (Guest) on August 7, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Hawa (Guest) on July 29, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Kiza (Guest) on July 19, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sarah Karani (Guest) on June 23, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nancy Kabura (Guest) on June 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Andrew Mchome (Guest) on May 28, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on May 19, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on May 16, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Benjamin Kibicho (Guest) on May 13, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on April 18, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on March 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on February 20, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Charles Mrope (Guest) on February 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on February 10, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zawadi (Guest) on February 6, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 8, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on December 11, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Ann Wambui (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on November 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Zuhura (Guest) on October 11, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

David Chacha (Guest) on October 9, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Kenneth Murithi (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

David Nyerere (Guest) on September 26, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Peter Mwambui (Guest) on September 25, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

James Mduma (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Esther Nyambura (Guest) on July 25, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Susan Wangari (Guest) on June 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on May 24, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Fadhila (Guest) on May 21, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Raphael Okoth (Guest) on May 20, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Kheri (Guest) on May 18, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

George Wanjala (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Baraka (Guest) on May 13, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Lissu (Guest) on April 15, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on April 2, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Patrick Akech (Guest) on March 3, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on February 25, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Jackson Makori (Guest) on February 20, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on February 9, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on February 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on December 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Nkya (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on September 20, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Sekela (Guest) on September 18, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Bernard Oduor (Guest) on July 30, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumaye (Guest) on July 8, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Catherine Naliaka (Guest) on June 28, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Raphael Okoth (Guest) on June 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More