Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nyota (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Michael Mboya (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on May 1, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Akech (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Malima (Guest) on April 21, 2017

Asante Ackyshine

Charles Mrope (Guest) on April 15, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 3, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on March 19, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Masika (Guest) on February 28, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joy Wacera (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on February 14, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Maida (Guest) on January 9, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rabia (Guest) on December 8, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mwanakhamis (Guest) on December 6, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Robert Okello (Guest) on November 26, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on November 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Wanyama (Guest) on November 18, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on October 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on September 25, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on September 14, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zuhura (Guest) on September 10, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Monica Lissu (Guest) on September 2, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Sharon Kibiru (Guest) on June 26, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Shukuru (Guest) on May 24, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on May 3, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 22, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on March 15, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Grace Mligo (Guest) on March 4, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on February 12, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mbise (Guest) on February 6, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Lissu (Guest) on January 16, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on January 4, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on December 28, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Arifa (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joyce Nkya (Guest) on December 5, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Lissu (Guest) on October 7, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mohamed (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Wanyama (Guest) on August 30, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Wilson Ombati (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on July 6, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Mushi (Guest) on May 12, 2015

😊🀣πŸ”₯

Tambwe (Guest) on April 12, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Faith Kariuki (Guest) on April 1, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More