Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nyota (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Michael Mboya (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on May 1, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Akech (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Malima (Guest) on April 21, 2017

Asante Ackyshine

Charles Mrope (Guest) on April 15, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 3, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on March 19, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Masika (Guest) on February 28, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joy Wacera (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on February 14, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Maida (Guest) on January 9, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rabia (Guest) on December 8, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mwanakhamis (Guest) on December 6, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Robert Okello (Guest) on November 26, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on November 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Wanyama (Guest) on November 18, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on October 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on September 25, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on September 14, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zuhura (Guest) on September 10, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Monica Lissu (Guest) on September 2, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Sharon Kibiru (Guest) on June 26, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Shukuru (Guest) on May 24, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on May 3, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 22, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on March 15, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Grace Mligo (Guest) on March 4, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on February 12, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mbise (Guest) on February 6, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Lissu (Guest) on January 16, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on January 4, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on December 28, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Arifa (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joyce Nkya (Guest) on December 5, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Lissu (Guest) on October 7, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mohamed (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Wanyama (Guest) on August 30, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Wilson Ombati (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on July 6, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Mushi (Guest) on May 12, 2015

😊🀣πŸ”₯

Tambwe (Guest) on April 12, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Faith Kariuki (Guest) on April 1, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More