Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Yusuf (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Kimotho (Guest) on April 27, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on April 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shani (Guest) on February 28, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Anna Kibwana (Guest) on February 28, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Umi (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Linda Karimi (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 26, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on January 18, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Mwikali (Guest) on January 8, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on January 4, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Baraka (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joyce Mussa (Guest) on November 17, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Victor Malima (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on October 9, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on September 27, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Josephine Nduta (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Amir (Guest) on September 9, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on September 5, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on August 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mchuma (Guest) on June 20, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on June 9, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on June 4, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on June 4, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Wangui (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mwambui (Guest) on April 12, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on April 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Nchi (Guest) on March 29, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Maneno (Guest) on March 14, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on February 25, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on February 21, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on February 4, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 4, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on February 3, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mhina (Guest) on January 15, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rose Waithera (Guest) on January 14, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on January 5, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Raphael Okoth (Guest) on September 30, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Benjamin Masanja (Guest) on September 27, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on September 25, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Catherine Naliaka (Guest) on September 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mchuma (Guest) on August 20, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Njeru (Guest) on August 16, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mjaka (Guest) on August 13, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rose Amukowa (Guest) on July 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on June 28, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kijakazi (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on June 17, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on May 29, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 9, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Nyerere (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on April 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Catherine Naliaka (Guest) on April 20, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More