Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Habiba (Guest) on October 6, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rose Amukowa (Guest) on September 26, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on September 18, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 17, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 8, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on September 3, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 1, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Grace Minja (Guest) on June 14, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on June 9, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 18, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 29, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on December 31, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Salima (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sharon Kibiru (Guest) on December 21, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on December 8, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 7, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on October 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on October 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on September 24, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 24, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Sumari (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Monica Nyalandu (Guest) on September 14, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on September 12, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Edward Lowassa (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mrope (Guest) on June 28, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bahati (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Selemani (Guest) on June 6, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nora Lowassa (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Lowassa (Guest) on May 3, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 7, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Patrick Mutua (Guest) on January 6, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Kiza (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Akech (Guest) on December 15, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Agnes Lowassa (Guest) on November 21, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Nyambura (Guest) on November 13, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nuru (Guest) on October 31, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Grace Minja (Guest) on September 4, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Lissu (Guest) on September 3, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on September 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on August 29, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Nora Lowassa (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Bernard Oduor (Guest) on July 27, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on May 5, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More