Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Habiba (Guest) on October 6, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rose Amukowa (Guest) on September 26, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on September 18, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 17, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 8, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on September 3, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 1, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Grace Minja (Guest) on June 14, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on June 9, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 18, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 29, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on December 31, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Salima (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sharon Kibiru (Guest) on December 21, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on December 8, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 7, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on October 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on October 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on September 24, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 24, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Sumari (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Monica Nyalandu (Guest) on September 14, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on September 12, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Edward Lowassa (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mrope (Guest) on June 28, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bahati (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Selemani (Guest) on June 6, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nora Lowassa (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Lowassa (Guest) on May 3, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 7, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Patrick Mutua (Guest) on January 6, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Kiza (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Akech (Guest) on December 15, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Agnes Lowassa (Guest) on November 21, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Nyambura (Guest) on November 13, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nuru (Guest) on October 31, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Grace Minja (Guest) on September 4, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Lissu (Guest) on September 3, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on September 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on August 29, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Nora Lowassa (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Bernard Oduor (Guest) on July 27, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on May 5, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More