Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanaidi (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 29, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Kibwana (Guest) on May 22, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Linda Karimi (Guest) on May 16, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on April 21, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mchome (Guest) on April 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Leila (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

John Lissu (Guest) on February 15, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 30, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joyce Aoko (Guest) on December 18, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on November 30, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on November 20, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwinyi (Guest) on November 11, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on November 6, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on November 5, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Wilson Ombati (Guest) on October 6, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on September 23, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on September 22, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on September 19, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on June 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on June 19, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fatuma (Guest) on June 18, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mhina (Guest) on June 11, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sumaya (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Emily Chepngeno (Guest) on June 6, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Kidata (Guest) on May 22, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Amollo (Guest) on May 17, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on May 12, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 3, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on May 3, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on April 24, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Malela (Guest) on February 13, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on February 8, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on January 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on January 20, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Grace Njuguna (Guest) on January 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on November 3, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on October 8, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Sumaya (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Stephen Malecela (Guest) on September 23, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 10, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Leila (Guest) on September 9, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Raphael Okoth (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Habiba (Guest) on July 9, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Mushi (Guest) on July 2, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on June 2, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Warda (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Margaret Anyango (Guest) on May 3, 2015

🀣πŸ”₯😊

Brian Karanja (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More