Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Featured Image

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta jamaa anaosha vyombo kwa MAMA NTILIE.

Girlfriend akamuuliza jamaa β€œbeby vipi mbona uko hapa?” Jamaa bila woga akajibu β€œNIPO FIELD.

Wanaume hatupendi ujinga sisi 😠😠😠

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on May 22, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Habiba (Guest) on May 7, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Janet Sumari (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Sokoine (Guest) on April 22, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 3, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Juma (Guest) on March 13, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sharon Kibiru (Guest) on March 10, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mustafa (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nassar (Guest) on March 5, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mwajabu (Guest) on March 3, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Njeri (Guest) on February 26, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Elizabeth Malima (Guest) on February 21, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on February 6, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Neema (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Njeri (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 2, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarafina (Guest) on October 28, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Agnes Sumaye (Guest) on October 23, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Salum (Guest) on October 15, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on September 27, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Zuhura (Guest) on August 21, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 14, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Hellen Nduta (Guest) on August 14, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on July 27, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on July 24, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on July 4, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on June 24, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on June 12, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Ndoto (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Hamida (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edward Chepkoech (Guest) on April 28, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Kimario (Guest) on April 11, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 12, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mwachumu (Guest) on March 3, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Charles Mrope (Guest) on February 24, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on February 24, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 17, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Daniel Obura (Guest) on January 22, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on January 16, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Hamida (Guest) on December 3, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Kenneth Murithi (Guest) on October 26, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on October 23, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Sekela (Guest) on October 21, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Faith Kariuki (Guest) on September 3, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on August 23, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Esther Cheruiyot (Guest) on July 24, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 9, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salima (Guest) on July 4, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Stephen Amollo (Guest) on July 3, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Njeri (Guest) on June 28, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Carol Nyakio (Guest) on June 8, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on April 17, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More