Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mwangi (Guest) on June 24, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on June 7, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on May 10, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Francis Njeru (Guest) on May 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on April 14, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 12, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on March 13, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on February 15, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rahim (Guest) on February 8, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Charles Mboje (Guest) on January 7, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sekela (Guest) on December 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samuel Omondi (Guest) on December 9, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 3, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Sokoine (Guest) on November 27, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Agnes Sumaye (Guest) on November 22, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwajabu (Guest) on November 15, 2016

Asante Ackyshine

Charles Mchome (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Mduma (Guest) on October 11, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on August 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on August 11, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sharifa (Guest) on July 1, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on June 16, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on May 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Mduma (Guest) on April 29, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sofia (Guest) on April 26, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on April 26, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on April 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on March 24, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Dorothy Nkya (Guest) on February 5, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rehema (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Bahati (Guest) on December 18, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Fadhila (Guest) on December 15, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alice Mrema (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Kawawa (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Zuhura (Guest) on October 30, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ramadhan (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Yahya (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on September 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on July 13, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Khamis (Guest) on July 11, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 23, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on June 9, 2015

🀣πŸ”₯😊

Kevin Maina (Guest) on May 27, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nyota (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Mahiga (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tambwe (Guest) on April 10, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Grace Minja (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on April 2, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Related Posts

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More