Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu panya wa tatu ni noma

Featured Image

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Panya 1:Β jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!

Panya 2Β Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa
kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa

RAT 3Β Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!

Panya WA 1 na 2 wakazimiaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zainab (Guest) on June 26, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Janet Mwikali (Guest) on June 25, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kijakazi (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Halima (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Rose Kiwanga (Guest) on May 16, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 13, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on March 24, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Maimuna (Guest) on February 16, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nancy Komba (Guest) on February 6, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on January 23, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on January 19, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on January 12, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on January 6, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Kiza (Guest) on December 1, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Kawawa (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on October 28, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on October 21, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on October 2, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on September 16, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on September 16, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Shamsa (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Agnes Sumaye (Guest) on August 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on July 30, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on June 10, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on May 3, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Victor Sokoine (Guest) on March 27, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Maimuna (Guest) on February 5, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on February 1, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on January 23, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 15, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on December 14, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on November 29, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ann Wambui (Guest) on November 22, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Monica Adhiambo (Guest) on October 7, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Monica Lissu (Guest) on September 30, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on September 26, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sharifa (Guest) on September 24, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Warda (Guest) on September 10, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Furaha (Guest) on August 23, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mary Kendi (Guest) on August 21, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on August 21, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on August 5, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on July 6, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on June 30, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on June 21, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on June 2, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joseph Njoroge (Guest) on May 23, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rahma (Guest) on May 13, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Hellen Nduta (Guest) on May 10, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on May 2, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on April 2, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Related Posts

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More