Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Featured Image

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini kamkuta mkewe amevaa kanga imeandikwaΒ ukisusa wenzio walaΒ ilipofika asubuhi mke akavaa kanga imeandikwaΒ ukitoka 🚢🚢mwenzio anaingiaπŸ’ƒπŸ’ƒ

jamaa akagoma kwenda kazini 😬😬 mke akabadili kanga na kuvaa iloandikwaΒ nimemdhibiti ndo mana hatoki🚷 jamaa akaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake akaambiwa twende nyumbsni kwako, walipofika walimkuta mke kavaa kanga imeandikwaΒ ulidhani rafiki yako kumbe adui yakoπŸ€”πŸ€” jamaa akaamua kusafiri siku tano ili kupunguza hasira. Aliporudi akamkuta mke amevaa kanga imeandikwaΒ ni bora nimpe jirani kuliko kiozee ndani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hata kama hupendagi ujinga kwa maneno ya kwenye kanga utasanda tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Makena (Guest) on April 13, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Jane Malecela (Guest) on March 31, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Robert Ndunguru (Guest) on February 11, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on January 20, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on December 29, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on December 21, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on December 19, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Musyoka (Guest) on November 22, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Mrope (Guest) on November 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Sarah Karani (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on October 26, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Zakaria (Guest) on September 28, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Frank Sokoine (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Latifa (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nancy Komba (Guest) on August 14, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on July 30, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Edith Cherotich (Guest) on July 24, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chiku (Guest) on July 21, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Akech (Guest) on July 5, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Khamis (Guest) on June 15, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mashaka (Guest) on June 6, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nora Lowassa (Guest) on May 26, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on May 18, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on May 17, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Henry Sokoine (Guest) on May 16, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on May 11, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on April 19, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on April 15, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on March 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 15, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Carol Nyakio (Guest) on March 10, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Adhiambo (Guest) on February 8, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 28, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on December 3, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on November 30, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Waithera (Guest) on November 9, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mtumwa (Guest) on October 27, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Mwikali (Guest) on October 9, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on October 4, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on September 21, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Komba (Guest) on September 7, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Betty Cheruiyot (Guest) on August 22, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on July 30, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on July 28, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on July 23, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Kahina (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mariam Kawawa (Guest) on July 4, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on June 30, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mwanaisha (Guest) on May 21, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 24, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Related Posts

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More