Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Featured Image

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiya…sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!

MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"

MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"

"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisa….papai jamani"

KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"

"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!…Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"

RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"

Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"

Kimyaaa…

Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!……..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"

WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"

MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!….ofa nyingineeee!"

Kimyaaa…

Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!…ofa nyinginee!

Kimyaaa….

Kimyaaa….

πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balance…sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπŸ‘€(mama wee Mosha anachezea Simu!)…..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)…..mama weee😝

MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!

Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maiti….kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John CenaπŸ‘€β€¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimi….Chicken wings zinataka kutokea Masikioni…..Uuuuwiiiii,😝😝😝

Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na TomatoπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚.
chiel wie okee

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nakitare (Guest) on January 3, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on December 5, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on November 29, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Irene Makena (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

David Sokoine (Guest) on October 15, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on October 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on September 17, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Francis Mrope (Guest) on August 29, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abdillah (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Nassar (Guest) on August 10, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ann Wambui (Guest) on July 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on July 13, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joy Wacera (Guest) on July 9, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 7, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on July 7, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on June 29, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on May 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Amani (Guest) on May 13, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on May 4, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Otieno (Guest) on April 14, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 31, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Baraka (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 16, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on January 19, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on January 18, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Majid (Guest) on January 2, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on January 2, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on December 26, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on December 19, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ahmed (Guest) on November 18, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Umi (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Shamsa (Guest) on November 7, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on October 7, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Amir (Guest) on September 15, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kenneth Murithi (Guest) on September 15, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on September 14, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 24, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Bakari (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Zubeida (Guest) on August 13, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Elijah Mutua (Guest) on August 12, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on July 16, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on July 13, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Mbithe (Guest) on July 7, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Alice Mrema (Guest) on June 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Maneno (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Andrew Odhiambo (Guest) on May 21, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kassim (Guest) on May 11, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Shamim (Guest) on April 11, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on April 8, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More