Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Featured Image

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiya…sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!

MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"

MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"

"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisa….papai jamani"

KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"

"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!…Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"

RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"

Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"

Kimyaaa…

Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!……..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"

WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"

MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!….ofa nyingineeee!"

Kimyaaa…

Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!…ofa nyinginee!

Kimyaaa….

Kimyaaa….

πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balance…sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπŸ‘€(mama wee Mosha anachezea Simu!)…..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)…..mama weee😝

MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!

Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maiti….kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John CenaπŸ‘€β€¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimi….Chicken wings zinataka kutokea Masikioni…..Uuuuwiiiii,😝😝😝

Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na TomatoπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚.
chiel wie okee

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nakitare (Guest) on January 3, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on December 5, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on November 29, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Irene Makena (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

David Sokoine (Guest) on October 15, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on October 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on September 17, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Francis Mrope (Guest) on August 29, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abdillah (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Nassar (Guest) on August 10, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ann Wambui (Guest) on July 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on July 13, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joy Wacera (Guest) on July 9, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 7, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on July 7, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on June 29, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on May 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Amani (Guest) on May 13, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on May 4, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Otieno (Guest) on April 14, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 31, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Baraka (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 16, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on January 19, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on January 18, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Majid (Guest) on January 2, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on January 2, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on December 26, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on December 19, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ahmed (Guest) on November 18, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Umi (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Shamsa (Guest) on November 7, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on October 7, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Amir (Guest) on September 15, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kenneth Murithi (Guest) on September 15, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on September 14, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 24, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Bakari (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Zubeida (Guest) on August 13, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Elijah Mutua (Guest) on August 12, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on July 16, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on July 13, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Mbithe (Guest) on July 7, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Alice Mrema (Guest) on June 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Maneno (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 30, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Andrew Odhiambo (Guest) on May 21, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kassim (Guest) on May 11, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Shamim (Guest) on April 11, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on April 8, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More