Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Featured Image

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.

MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.

MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!

MUMEΒ kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!

MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.

MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mercy Atieno (Guest) on August 24, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Lydia Mahiga (Guest) on July 4, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on June 12, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwachumu (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Hamida (Guest) on June 2, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Furaha (Guest) on May 20, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on May 2, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on April 29, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Sokoine (Guest) on April 10, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on April 6, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on March 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on February 4, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Benjamin Kibicho (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anthony Kariuki (Guest) on November 12, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amir (Guest) on November 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Dorothy Nkya (Guest) on October 30, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Kamau (Guest) on October 14, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on August 30, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on August 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on August 14, 2016

😊🀣πŸ”₯

Joy Wacera (Guest) on August 4, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mchuma (Guest) on July 29, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Aziza (Guest) on July 17, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdullah (Guest) on June 12, 2016

Asante Ackyshine

Joyce Nkya (Guest) on June 9, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Stephen Kangethe (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on June 3, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Kibwana (Guest) on May 25, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on May 24, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on May 3, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on April 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Mbise (Guest) on March 31, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on March 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on March 7, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Wambura (Guest) on January 30, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwinyi (Guest) on January 7, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Lissu (Guest) on December 28, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine Nekesa (Guest) on December 21, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on December 5, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Fatuma (Guest) on September 28, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Amollo (Guest) on September 11, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on August 24, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on July 8, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Mduma (Guest) on July 3, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Robert Okello (Guest) on May 9, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on April 27, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on April 14, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More