Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….

NAKUA kaingia ndani kamkuta mkewe kalala kitandani kajifunika shuka gubigubi hadi kichwani. Kaenda kwenye kabati kufungua mlango , akamkuta rafiki yake wa miaka mingi yuko uchi ndani ya kabati
NAKUA: Aise unajua we fala sana, we rafiki yangu miaka yote hiyo halafu unamtisha mwanangu eti wewe jini, hebu toka huko nenda kwenu kacheze michezo hiyo na mwanao.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Philip Nyaga (Guest) on September 18, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Daniel Obura (Guest) on August 18, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on August 16, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

James Kimani (Guest) on July 8, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on April 8, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Francis Mtangi (Guest) on April 6, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Wilson Ombati (Guest) on April 1, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Kikwete (Guest) on March 31, 2017

🀣πŸ”₯😊

David Musyoka (Guest) on March 4, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Sokoine (Guest) on February 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on January 29, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on January 20, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Moses Kipkemboi (Guest) on January 18, 2017

😊🀣πŸ”₯

Sarah Achieng (Guest) on January 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on January 5, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on December 29, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on December 12, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on December 6, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mchome (Guest) on December 5, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Halimah (Guest) on November 26, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Chris Okello (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Makame (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Moses Mwita (Guest) on October 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on October 10, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joyce Mussa (Guest) on September 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on August 11, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on August 9, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on July 30, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Robert Okello (Guest) on July 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on May 6, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on May 5, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on May 5, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on May 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on April 12, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on March 9, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on March 3, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwajabu (Guest) on January 19, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on January 13, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Moses Kipkemboi (Guest) on January 12, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on December 29, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sekela (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mboje (Guest) on September 29, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on September 25, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Shabani (Guest) on September 23, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Warda (Guest) on September 21, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Margaret Anyango (Guest) on July 25, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Habiba (Guest) on July 20, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on July 7, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mary Njeri (Guest) on July 4, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on July 2, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Paul Kamau (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Charles Mboje (Guest) on April 15, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Zawadi (Guest) on April 2, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rose Waithera (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Related Posts

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More