Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

Msichana anakata simu jamaa ndo ananiuliza."sasa
sijui amekasirikia lipi?" Mi nikamwambia we zuzu
umemwambia AKUSAHAU, dah, kumbe
ningemwambiaje? hahaha, ungemwambia
ForgivE me! au Ungesema Tu NaombA nSameHe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mchawi (Guest) on July 10, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ann Wambui (Guest) on July 5, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 23, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on April 30, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam (Guest) on April 12, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on April 8, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on April 4, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on March 21, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Andrew Mchome (Guest) on February 28, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 25, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Shukuru (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

David Nyerere (Guest) on February 2, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Kimaro (Guest) on December 21, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 16, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on November 21, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Zakaria (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

James Kimani (Guest) on November 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 2, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on October 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Zainab (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on September 5, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on August 24, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on August 23, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on August 11, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Neema (Guest) on August 9, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on July 13, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on June 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Yusra (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on March 24, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on March 13, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Halimah (Guest) on March 8, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ann Awino (Guest) on March 7, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on February 14, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on February 9, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Were (Guest) on December 18, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on October 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Diana Mumbua (Guest) on September 8, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on August 18, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on July 16, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Bahati (Guest) on July 2, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on June 29, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on June 28, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on May 29, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Betty Akinyi (Guest) on May 20, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baridi (Guest) on May 6, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

David Kawawa (Guest) on May 1, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anthony Kariuki (Guest) on April 3, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rose Kiwanga (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More