Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

Msichana anakata simu jamaa ndo ananiuliza."sasa
sijui amekasirikia lipi?" Mi nikamwambia we zuzu
umemwambia AKUSAHAU, dah, kumbe
ningemwambiaje? hahaha, ungemwambia
ForgivE me! au Ungesema Tu NaombA nSameHe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mchawi (Guest) on July 10, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Ann Wambui (Guest) on July 5, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 23, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on April 30, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam (Guest) on April 12, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on April 8, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on April 4, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on March 21, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Andrew Mchome (Guest) on February 28, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 25, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Shukuru (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

David Nyerere (Guest) on February 2, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Kimaro (Guest) on December 21, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 16, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on November 21, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Zakaria (Guest) on November 14, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

James Kimani (Guest) on November 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 2, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on October 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Zainab (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on September 5, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on August 24, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on August 23, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on August 11, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Neema (Guest) on August 9, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on July 13, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on June 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Yusra (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on March 24, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on March 13, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Halimah (Guest) on March 8, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ann Awino (Guest) on March 7, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on February 14, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on February 9, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Were (Guest) on December 18, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on October 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Diana Mumbua (Guest) on September 8, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on August 18, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on July 16, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Bahati (Guest) on July 2, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on June 29, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on June 28, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on May 29, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Betty Akinyi (Guest) on May 20, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baridi (Guest) on May 6, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

David Kawawa (Guest) on May 1, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anthony Kariuki (Guest) on April 3, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rose Kiwanga (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More