Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Chacha (Guest) on May 24, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Moses Mwita (Guest) on April 16, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on April 9, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on April 7, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanais (Guest) on March 31, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on March 31, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Omar (Guest) on March 9, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Omar (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Majaliwa (Guest) on February 4, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on January 7, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 23, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on November 24, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on September 20, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Issa (Guest) on September 6, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Alice Jebet (Guest) on August 28, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on August 13, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on July 28, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on July 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on June 19, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on June 13, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nasra (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Kimani (Guest) on June 3, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on May 23, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Njeri (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Tenga (Guest) on April 23, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on February 5, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Tenga (Guest) on January 28, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on January 23, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on January 10, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nora Kidata (Guest) on January 7, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Malela (Guest) on January 7, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Raha (Guest) on December 21, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joyce Mussa (Guest) on December 11, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 26, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Leila (Guest) on November 6, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Agnes Sumaye (Guest) on November 5, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on September 26, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Khamis (Guest) on September 6, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Betty Akinyi (Guest) on August 29, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on August 29, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on August 24, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on August 13, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Violet Mumo (Guest) on August 5, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on August 1, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Linda Karimi (Guest) on July 4, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Baridi (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Zainab (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

James Kawawa (Guest) on May 31, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Abubakar (Guest) on May 30, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Anna Mahiga (Guest) on May 26, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on May 24, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on April 27, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on April 13, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Related Posts

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More