Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lily…Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary…Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily…Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

Lily…Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

John…Niaje we mbwaa
Sam…Pouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Sam…Niko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa… Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

John…Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Sam…John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulana…
High πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Majid (Guest) on November 20, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on October 21, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Mallya (Guest) on September 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lydia Mahiga (Guest) on September 24, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on September 24, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Halimah (Guest) on September 22, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 15, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Zulekha (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Majid (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Ali (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Ochieng (Guest) on July 9, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Michael Mboya (Guest) on July 7, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Hashim (Guest) on June 3, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Neema (Guest) on May 21, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Irene Akoth (Guest) on May 21, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ali (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Wilson Ombati (Guest) on May 4, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on April 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on March 10, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nancy Akumu (Guest) on February 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on February 21, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joy Wacera (Guest) on February 14, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on January 20, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 15, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on December 16, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 5, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Christopher Oloo (Guest) on August 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 24, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumari (Guest) on July 9, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nasra (Guest) on July 4, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on July 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 3, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

David Musyoka (Guest) on June 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on May 23, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 30, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ali (Guest) on April 6, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 22, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on February 14, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on February 5, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Samuel Were (Guest) on February 3, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on January 3, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on December 14, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Monica Lissu (Guest) on November 29, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Jafari (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mchawi (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Janet Sumari (Guest) on November 9, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Josephine Nekesa (Guest) on October 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on October 3, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on September 22, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mtei (Guest) on September 14, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on September 7, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on July 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Related Posts

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More