Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Kibona (Guest) on December 31, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on December 8, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on November 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on November 16, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on October 4, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 25, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on August 31, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Esther Nyambura (Guest) on August 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Njoroge (Guest) on July 9, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on July 8, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on July 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Hassan (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Patrick Kidata (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 1, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Henry Mollel (Guest) on April 1, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on January 14, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on January 6, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on December 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on December 18, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on November 26, 2018

🀣πŸ”₯😊

Samson Tibaijuka (Guest) on November 19, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on October 22, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fatuma (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Jebet (Guest) on September 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Chiku (Guest) on September 16, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Khadija (Guest) on September 12, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Josephine Nduta (Guest) on September 7, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on August 31, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Edith Cherotich (Guest) on August 28, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Josephine Nduta (Guest) on August 26, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwajabu (Guest) on August 20, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Mwinuka (Guest) on August 12, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Yusuf (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Moses Kipkemboi (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Sokoine (Guest) on June 5, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Wangui (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Jane Muthui (Guest) on March 25, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on March 1, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on February 22, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Zulekha (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Mchome (Guest) on November 13, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on October 20, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Issack (Guest) on October 15, 2017

Asante Ackyshine

Husna (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Daniel Obura (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Victor Kimario (Guest) on August 18, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mrope (Guest) on August 17, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nora Lowassa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on August 4, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Susan Wangari (Guest) on July 27, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Omari (Guest) on July 19, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on July 19, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More