Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

Featured Image

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea Nyoka hatar san Ambaye hajawah kutokea duniania.. wanadai kwamba nyoka huyo anaongezeka ulrefu wa 0.5sm kila akila chakula na huwa anakula chakula kuanzia sekunde 30 kurudi nyuma.. mpaka sasa hakuna siraha ya kuweza kumuua nyoka huyo isipokuwa akiji uma mwenye ndo anaweza kufa, wanasayansi hao walieleza japo uchunguz zaid bado unaendelea… huyu ni nyoka anayeua kuliko nyoka wote waliowah kutokea katika historia ya maisha ya mwanadam..

nyoka huyu hupatikana katika simu pekee za nokia toch katika sehem ya game inaitwa snake xenzia..

asanteni kwa kufurah na umakin mkubwa katika usomaji wa matini hii…

haya ni mambo ya wikiend jaman na iwe njema kwenu wote

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Njoroge (Guest) on October 27, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Henry Sokoine (Guest) on September 6, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on September 4, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Jamal (Guest) on August 9, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on July 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on July 13, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Edward Lowassa (Guest) on July 3, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Miriam Mchome (Guest) on May 26, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on April 12, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on March 22, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Omari (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 13, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Chris Okello (Guest) on January 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Ali (Guest) on January 6, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on December 14, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on December 13, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samuel Were (Guest) on November 27, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on November 15, 2018

😊🀣πŸ”₯

Wilson Ombati (Guest) on October 31, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on October 26, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on October 12, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rabia (Guest) on October 5, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Rose Lowassa (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on September 27, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Okello (Guest) on September 25, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on September 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on September 15, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on September 12, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on September 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on August 15, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Maneno (Guest) on July 6, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ann Wambui (Guest) on July 4, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Akumu (Guest) on May 22, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on April 22, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on April 12, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Muslima (Guest) on March 26, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Athumani (Guest) on March 16, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Victor Malima (Guest) on February 26, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on February 22, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Charles Mrope (Guest) on February 8, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on January 14, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on December 4, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Patrick Mutua (Guest) on November 29, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Omari (Guest) on November 8, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Issa (Guest) on November 6, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Wanyama (Guest) on November 4, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Salum (Guest) on October 31, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 22, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on September 21, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on September 7, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Tabu (Guest) on August 31, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Samuel Were (Guest) on August 29, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on August 26, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on July 18, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Kamande (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Stephen Malecela (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on April 3, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on March 26, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More