Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Azima (Guest) on June 19, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Catherine Naliaka (Guest) on June 18, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Umi (Guest) on June 16, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on June 3, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 15, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on May 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on April 26, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Jackson Makori (Guest) on April 20, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 20, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on March 19, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rukia (Guest) on February 23, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Janet Sumari (Guest) on February 18, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on February 13, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Martin Otieno (Guest) on January 30, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on January 14, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rashid (Guest) on December 25, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Mwangi (Guest) on December 23, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on November 9, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on October 30, 2019

😊🀣πŸ”₯

George Wanjala (Guest) on October 21, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwakisu (Guest) on October 15, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Kiwanga (Guest) on September 9, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on September 6, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Malima (Guest) on September 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on September 4, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on August 12, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on August 9, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on July 26, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Edward Lowassa (Guest) on April 30, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on April 26, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on April 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Sokoine (Guest) on March 12, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Tambwe (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Mrope (Guest) on February 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on February 21, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nchi (Guest) on February 15, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on January 31, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sharifa (Guest) on January 26, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Miriam Mchome (Guest) on January 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Akinyi (Guest) on November 13, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Sumaye (Guest) on September 25, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 31, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Charles Mrope (Guest) on August 27, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 23, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jane Muthoni (Guest) on August 12, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rahim (Guest) on July 14, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Zubeida (Guest) on July 4, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Frank Sokoine (Guest) on June 2, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on May 13, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on May 7, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Kibwana (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on March 23, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Tabitha Okumu (Guest) on December 27, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Warda (Guest) on November 25, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Related Posts

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More