Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Sumaye (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Janet Wambura (Guest) on August 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on August 7, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joyce Nkya (Guest) on July 27, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on July 9, 2019

😊🀣πŸ”₯

Fatuma (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Margaret Mahiga (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Nancy Akumu (Guest) on June 21, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on June 9, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Kheri (Guest) on June 7, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mahiga (Guest) on May 23, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on May 22, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 10, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Husna (Guest) on March 12, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 4, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 11, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on February 4, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Arifa (Guest) on February 2, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Janet Wambura (Guest) on January 23, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on January 15, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Sokoine (Guest) on December 7, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on November 30, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on November 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on November 19, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

George Tenga (Guest) on November 14, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on November 6, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on November 3, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Cheruiyot (Guest) on October 16, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on October 16, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on September 25, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Husna (Guest) on September 8, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

George Wanjala (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Bahati (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on July 16, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on July 11, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Charles Mrope (Guest) on June 1, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Agnes Njeri (Guest) on May 11, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on May 6, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on May 4, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on May 3, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Shukuru (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Benjamin Masanja (Guest) on April 12, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rukia (Guest) on April 9, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on April 9, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on April 4, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Kimaro (Guest) on April 3, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Esther Nyambura (Guest) on March 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Habiba (Guest) on February 28, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on February 3, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Zakaria (Guest) on February 1, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Violet Mumo (Guest) on January 18, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

James Mduma (Guest) on January 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Baridi (Guest) on December 8, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nuru (Guest) on December 5, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More