Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rukia (Guest) on September 14, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Anna Mahiga (Guest) on September 11, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Janet Wambura (Guest) on August 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on August 7, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joyce Nkya (Guest) on July 27, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on July 9, 2019

😊🀣πŸ”₯

Fatuma (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Margaret Mahiga (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Nancy Akumu (Guest) on June 21, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on June 9, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Kheri (Guest) on June 7, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mahiga (Guest) on May 23, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on May 22, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 10, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Husna (Guest) on March 12, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 4, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 11, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on February 4, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Arifa (Guest) on February 2, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Janet Wambura (Guest) on January 23, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on January 15, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Sokoine (Guest) on December 7, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on November 30, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on November 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on November 19, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

George Tenga (Guest) on November 14, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on November 6, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on November 3, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Cheruiyot (Guest) on October 16, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on October 16, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on September 25, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Husna (Guest) on September 8, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

George Wanjala (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Bahati (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on July 16, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on July 11, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Charles Mrope (Guest) on June 1, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Agnes Njeri (Guest) on May 11, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on May 6, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on May 4, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on May 3, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Shukuru (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Benjamin Masanja (Guest) on April 12, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rukia (Guest) on April 9, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on April 9, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on April 4, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Kimaro (Guest) on April 3, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Esther Nyambura (Guest) on March 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Habiba (Guest) on February 28, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on February 3, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Zakaria (Guest) on February 1, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Violet Mumo (Guest) on January 18, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

James Mduma (Guest) on January 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More