Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango
Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao
JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
MLEVI: Naomba uje unisukume.
Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia
mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Waithera (Guest) on December 4, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Sarah Achieng (Guest) on December 2, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Umi (Guest) on November 28, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Mollel (Guest) on November 15, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on October 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sekela (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Amani (Guest) on September 17, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Monica Lissu (Guest) on September 14, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on September 8, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Betty Akinyi (Guest) on August 24, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on August 21, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Peter Mwambui (Guest) on July 30, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Janet Sumaye (Guest) on July 13, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Agnes Sumaye (Guest) on June 29, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Philip Nyaga (Guest) on June 29, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on June 24, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Fatuma (Guest) on May 8, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jabir (Guest) on April 24, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Kitine (Guest) on March 19, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on March 16, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on February 27, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Daniel Obura (Guest) on January 17, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Margaret Mahiga (Guest) on December 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on December 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Shamsa (Guest) on November 30, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on October 30, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on October 22, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Bernard Oduor (Guest) on October 15, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Henry Mollel (Guest) on October 4, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Malima (Guest) on October 2, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rubea (Guest) on September 17, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Edward Chepkoech (Guest) on August 31, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on August 28, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on August 8, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on July 17, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Khalifa (Guest) on June 29, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on June 22, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Alex Nyamweya (Guest) on June 4, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Edward Lowassa (Guest) on May 26, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on May 22, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on May 2, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jackson Makori (Guest) on April 27, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Josephine Nduta (Guest) on April 26, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Kenneth Murithi (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rabia (Guest) on April 3, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

John Lissu (Guest) on March 7, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Kamau (Guest) on March 7, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Rose Waithera (Guest) on March 1, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Patrick Kidata (Guest) on February 28, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on February 24, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on January 15, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nora Lowassa (Guest) on December 22, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on November 25, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Isaac Kiptoo (Guest) on October 22, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on September 27, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jamila (Guest) on September 18, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Anthony Kariuki (Guest) on August 18, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More