Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.

Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.

Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.

Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.

Wakaingia msituni kila mtu njia yake.

… Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.

Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.

Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?”

Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Wambura (Guest) on November 27, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Mushi (Guest) on September 14, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Anna Mahiga (Guest) on September 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on September 2, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on September 1, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sarafina (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Kawawa (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Betty Kimaro (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on July 15, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on June 17, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on March 4, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on March 3, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on February 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on February 10, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on January 24, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Daniel Obura (Guest) on January 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on December 4, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kevin Maina (Guest) on December 3, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on November 11, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Susan Wangari (Guest) on October 21, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on October 13, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on October 12, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on September 29, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 17, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Peter Mbise (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on August 12, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on August 10, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Chacha (Guest) on August 5, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on August 4, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mazrui (Guest) on July 31, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Wairimu (Guest) on July 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on July 5, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Sumaye (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on May 17, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Sokoine (Guest) on April 18, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on March 24, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on March 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on February 7, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Yahya (Guest) on February 4, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rahma (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Jane Muthui (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

David Chacha (Guest) on January 6, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on January 2, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on December 27, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nuru (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Masika (Guest) on November 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on October 23, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on September 15, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Mussa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on August 3, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on July 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on March 28, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More