Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Featured Image
Bangi si mchezo!
Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo!
Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti!
then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Violet Mumo (Guest) on March 14, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on March 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Catherine Naliaka (Guest) on February 29, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Mchome (Guest) on February 23, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rehema (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Faith Kariuki (Guest) on January 16, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on January 15, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Carol Nyakio (Guest) on December 27, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Leila (Guest) on November 27, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nancy Akumu (Guest) on November 22, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mboje (Guest) on October 19, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 20, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on July 20, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alex Nakitare (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Maida (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Rose Mwinuka (Guest) on June 11, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Fadhili (Guest) on May 11, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on March 28, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Arifa (Guest) on February 4, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Mchome (Guest) on February 3, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Otieno (Guest) on January 28, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on January 11, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 23, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Francis Mtangi (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on October 25, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on September 5, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on August 9, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on August 8, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mary Njeri (Guest) on July 19, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on July 4, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on June 18, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 30, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 20, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rahim (Guest) on April 30, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lucy Wangui (Guest) on April 22, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Shamsa (Guest) on April 20, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Paul Ndomba (Guest) on February 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on February 18, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mariam Kawawa (Guest) on February 12, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on February 7, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Fatuma (Guest) on December 14, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Linda Karimi (Guest) on December 9, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Ann Awino (Guest) on September 9, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on September 4, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Abdullah (Guest) on August 10, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Monica Nyalandu (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Hawa (Guest) on August 3, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on July 26, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwachumu (Guest) on July 16, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Catherine Mkumbo (Guest) on July 10, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on June 29, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Mahiga (Guest) on June 3, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

John Mwangi (Guest) on May 7, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Khalifa (Guest) on March 26, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Related Posts

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More