Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 3, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on November 28, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on November 17, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on November 15, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on September 12, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 11, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on July 27, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 19, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Khadija (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joyce Nkya (Guest) on May 22, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on May 21, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on April 20, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kikwete (Guest) on March 22, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Miriam Mchome (Guest) on March 18, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on February 28, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sarah Karani (Guest) on February 6, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on February 1, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Hellen Nduta (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Martin Otieno (Guest) on December 1, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Mrope (Guest) on November 20, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Kiwanga (Guest) on October 16, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mohamed (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Sumari (Guest) on September 25, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 5, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Arifa (Guest) on August 26, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Sharifa (Guest) on August 16, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on August 9, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on August 3, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Raha (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Minja (Guest) on July 17, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mustafa (Guest) on June 9, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on May 17, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 11, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on May 7, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on May 6, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on May 4, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on April 29, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

James Kawawa (Guest) on April 24, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on April 7, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on February 13, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ruth Kibona (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 25, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on January 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on January 20, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on January 17, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Nyerere (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on December 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on December 12, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on December 4, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

James Kawawa (Guest) on December 1, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Mwalimu (Guest) on November 16, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on November 14, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rahim (Guest) on October 27, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Tabitha Okumu (Guest) on October 24, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mary Njeri (Guest) on October 23, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 11, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Related Posts

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More