Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwajuma (Guest) on November 23, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Simon Kiprono (Guest) on November 6, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Mrope (Guest) on November 2, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on October 17, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on October 2, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

James Malima (Guest) on September 29, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on September 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on September 9, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Monica Nyalandu (Guest) on August 18, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mwangi (Guest) on August 8, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Kawawa (Guest) on August 3, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on July 26, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Janet Mwikali (Guest) on July 21, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on June 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on June 3, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

James Mduma (Guest) on May 27, 2020

🀣πŸ”₯😊

Salima (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Samuel Were (Guest) on May 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 6, 2020

😊🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Sharifa (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Charles Wafula (Guest) on February 14, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on January 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on November 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samuel Were (Guest) on October 28, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

George Wanjala (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Khatib (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on September 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rashid (Guest) on September 11, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Kendi (Guest) on August 13, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 9, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 8, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on August 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on July 27, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Aziza (Guest) on July 26, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

John Malisa (Guest) on July 21, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 24, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on June 12, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on May 7, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on March 28, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Christopher Oloo (Guest) on March 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Wande (Guest) on February 16, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Amani (Guest) on February 1, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on January 23, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nashon (Guest) on January 21, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Sarah Mbise (Guest) on January 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on November 21, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on November 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Anna Sumari (Guest) on August 29, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on August 27, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Related Posts

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More