Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Featured Image

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma barua
Ikisema yan.mwanangu tumapata shida maana shamba halijalimwa na jatujii litalimwaje na msimu ndio huo nataman.ungekuwepo ningepata msaada wa kulimiwa hili shamba

Yule kijana alijibu tafadhal baba usilime hilo shamba maana pesa zote nilizo ibwa nimeficha.huko

Kwakuwa barua zote laxima zipite kwa mkuu wa gereza ndio xiende kwa muhusika kesho yake mzee alikuwa shamba lote limelimwaa na polisi

Akatuma ujumbe tena yule kijana
Nashukulu umepata msaada sasa nazan unaweza ukaendelea kupanda mazao shamban.kwetuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Mahiga (Guest) on October 10, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 5, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 29, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

David Chacha (Guest) on September 15, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Daniel Obura (Guest) on August 31, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Wanjiru (Guest) on August 14, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on August 12, 2019

😊🀣πŸ”₯

Agnes Njeri (Guest) on August 7, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Samuel Omondi (Guest) on July 24, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on July 4, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on June 8, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on June 3, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 21, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on March 20, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on March 19, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Arifa (Guest) on March 9, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on March 2, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on March 1, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on February 27, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Monica Nyalandu (Guest) on February 16, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Monica Adhiambo (Guest) on January 8, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on January 7, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Josephine Nduta (Guest) on January 1, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on December 21, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mwakisu (Guest) on November 25, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

John Mwangi (Guest) on October 25, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on October 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Safiya (Guest) on October 14, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Elizabeth Mrope (Guest) on September 15, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Mtangi (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Samuel Omondi (Guest) on July 18, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Kibwana (Guest) on July 17, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joy Wacera (Guest) on June 15, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on June 5, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Ochieng (Guest) on June 3, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on June 1, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on May 2, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on April 18, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on April 7, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on March 31, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on March 29, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Khalifa (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jacob Kiplangat (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Henry Mollel (Guest) on February 22, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanais (Guest) on February 19, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 14, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zakia (Guest) on December 31, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Lydia Mutheu (Guest) on December 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on November 1, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Binti (Guest) on September 25, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

James Malima (Guest) on September 13, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Kenneth Murithi (Guest) on September 9, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Aziza (Guest) on August 27, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Stephen Kikwete (Guest) on August 26, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Zakaria (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Musyoka (Guest) on August 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More