Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Featured Image

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje,

Si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

*Mniache mimi sipendi Ujinga Ujinga πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mrope (Guest) on July 1, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on June 30, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lydia Mutheu (Guest) on June 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on June 27, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on June 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on June 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Benjamin Masanja (Guest) on May 24, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on May 21, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on April 5, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alex Nakitare (Guest) on April 5, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Waithera (Guest) on April 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on March 29, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on March 8, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Edwin Ndambuki (Guest) on March 3, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Richard Mulwa (Guest) on February 10, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on January 7, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Ali (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Wilson Ombati (Guest) on December 21, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Charles Mrope (Guest) on December 14, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on November 5, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Azima (Guest) on October 6, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rehema (Guest) on September 16, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halima (Guest) on August 30, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on August 20, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

John Kamande (Guest) on August 18, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumaye (Guest) on July 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Grace Mushi (Guest) on June 12, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Neema (Guest) on May 26, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on May 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Arifa (Guest) on May 1, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Samuel Omondi (Guest) on April 25, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 19, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Samuel Were (Guest) on April 4, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on March 21, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 17, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Makame (Guest) on March 3, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Rose Waithera (Guest) on February 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Binti (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Majaliwa (Guest) on February 6, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on February 5, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joy Wacera (Guest) on February 3, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on January 6, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mumbua (Guest) on January 4, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on December 7, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on November 10, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

John Mwangi (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Peter Mugendi (Guest) on October 13, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mahiga (Guest) on September 26, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on August 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Husna (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwafirika (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Lissu (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Related Posts

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More