Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Featured Image

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje,

Si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

*Mniache mimi sipendi Ujinga Ujinga πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

David Sokoine (Guest) on June 30, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lydia Mutheu (Guest) on June 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on June 27, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on June 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on June 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Benjamin Masanja (Guest) on May 24, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on May 21, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on April 5, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alex Nakitare (Guest) on April 5, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Waithera (Guest) on April 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on March 29, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on March 8, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Edwin Ndambuki (Guest) on March 3, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Richard Mulwa (Guest) on February 10, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on January 7, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Ali (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Wilson Ombati (Guest) on December 21, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Charles Mrope (Guest) on December 14, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on November 5, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Azima (Guest) on October 6, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rehema (Guest) on September 16, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halima (Guest) on August 30, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on August 20, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

John Kamande (Guest) on August 18, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumaye (Guest) on July 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Grace Mushi (Guest) on June 12, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Neema (Guest) on May 26, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on May 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Arifa (Guest) on May 1, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Samuel Omondi (Guest) on April 25, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 19, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Samuel Were (Guest) on April 4, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on March 21, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 17, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Makame (Guest) on March 3, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Rose Waithera (Guest) on February 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Binti (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Majaliwa (Guest) on February 6, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on February 5, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joy Wacera (Guest) on February 3, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on January 6, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mumbua (Guest) on January 4, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on December 7, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on November 10, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

John Mwangi (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Peter Mugendi (Guest) on October 13, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mahiga (Guest) on September 26, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on August 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Husna (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwafirika (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Lissu (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on May 15, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More