Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Featured Image

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikaona nikimjibu ni uharibifu wa hela nikaenda kumgongea mlango saa 7 usiku. Alipofungua nikamjibu "shwari"halafu nikarudi nyumbani kulala zangu..

Sipendagi kuchezea salio..

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Amani (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Paul Ndomba (Guest) on August 28, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Amir (Guest) on August 7, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mwanaidha (Guest) on July 17, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Kawawa (Guest) on July 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 14, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Lydia Mahiga (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

John Mushi (Guest) on May 3, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jafari (Guest) on April 25, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anna Sumari (Guest) on March 27, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on March 9, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaisha (Guest) on February 23, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Sokoine (Guest) on December 19, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Kiwanga (Guest) on November 30, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Victor Malima (Guest) on November 17, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on November 9, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on November 1, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on October 28, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on October 21, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Janet Wambura (Guest) on October 10, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Hashim (Guest) on October 8, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

George Tenga (Guest) on October 5, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Khamis (Guest) on September 11, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Violet Mumo (Guest) on September 3, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on July 30, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sharifa (Guest) on July 1, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Edith Cherotich (Guest) on June 13, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on March 28, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on March 19, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Kali sana!

John Lissu (Guest) on March 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on March 7, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Yusra (Guest) on February 11, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Anthony Kariuki (Guest) on January 3, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Athumani (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Paul Kamau (Guest) on December 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Andrew Mahiga (Guest) on December 2, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on November 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on November 22, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on November 12, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 6, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Rahma (Guest) on November 4, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on October 12, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on October 10, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on September 25, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on September 7, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chiku (Guest) on August 29, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on August 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 20, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Hawa (Guest) on June 3, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanaidha (Guest) on May 26, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 12, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on May 3, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on April 22, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Mahiga (Guest) on April 20, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chiku (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Majaliwa (Guest) on April 9, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More