Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on December 8, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanais (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mjaka (Guest) on October 30, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Mutua (Guest) on October 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mwangi (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 3, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on September 25, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on September 13, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on September 7, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on August 23, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on July 28, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on July 10, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on July 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on May 14, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Lissu (Guest) on April 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

James Kimani (Guest) on April 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Mchome (Guest) on January 10, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on December 9, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jamal (Guest) on December 1, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Betty Akinyi (Guest) on November 11, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 11, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on November 3, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on October 23, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sarah Karani (Guest) on October 21, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Bahati (Guest) on September 11, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Waithera (Guest) on August 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nassor (Guest) on August 18, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on August 14, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 5, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 4, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on July 7, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Asha (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Paul Kamau (Guest) on June 17, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 30, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 8, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Khamis (Guest) on March 27, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mary Kendi (Guest) on March 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on March 3, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on March 3, 2018

Asante Ackyshine

Anna Malela (Guest) on March 3, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on February 18, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on February 11, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on January 17, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Mazrui (Guest) on December 11, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Maneno (Guest) on December 9, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samuel Were (Guest) on November 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mwangi (Guest) on September 24, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on September 10, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Josephine Nduta (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Benjamin Masanja (Guest) on July 27, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on July 22, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Saidi (Guest) on July 20, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Chacha (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Mahiga (Guest) on June 27, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on June 26, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on June 22, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More