Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on December 8, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanais (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mjaka (Guest) on October 30, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Mutua (Guest) on October 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mwangi (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 3, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on September 25, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on September 13, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on September 7, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on August 23, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on July 28, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on July 10, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on July 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on May 14, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Lissu (Guest) on April 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

James Kimani (Guest) on April 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Mchome (Guest) on January 10, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on December 9, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jamal (Guest) on December 1, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Betty Akinyi (Guest) on November 11, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 11, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on November 3, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on October 23, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sarah Karani (Guest) on October 21, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Bahati (Guest) on September 11, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Waithera (Guest) on August 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nassor (Guest) on August 18, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on August 14, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 5, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 4, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on July 7, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Asha (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Paul Kamau (Guest) on June 17, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 30, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 8, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Khamis (Guest) on March 27, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mary Kendi (Guest) on March 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on March 3, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on March 3, 2018

Asante Ackyshine

Anna Malela (Guest) on March 3, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on February 18, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on February 11, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on January 17, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Mazrui (Guest) on December 11, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Maneno (Guest) on December 9, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samuel Were (Guest) on November 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mwangi (Guest) on September 24, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on September 10, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Josephine Nduta (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Benjamin Masanja (Guest) on July 27, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on July 22, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Saidi (Guest) on July 20, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Chacha (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Mahiga (Guest) on June 27, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on June 26, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on June 22, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More