Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini zipu ya suruali yake ilikuwa wazi. Mama akamuuliza, mkeo anaendeleaje? Akamuambia, anajisikia vzr sasa. Nimempa panadol. Mama akatabasamu na kumwambia mwanaye, sawa. Lakini siku nyingine ukishatoa panadol ukumbuke kufunga pharmacyπŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kiza (Guest) on March 23, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ali (Guest) on March 17, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Abubakari (Guest) on March 11, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Amina (Guest) on March 4, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Betty Kimaro (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Sarah Karani (Guest) on February 22, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Grace Mushi (Guest) on February 15, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 14, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nahida (Guest) on February 13, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Robert Okello (Guest) on February 4, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 19, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on January 13, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on November 19, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on November 1, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on October 7, 2018

Asante Ackyshine

Anna Sumari (Guest) on September 3, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on August 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on August 9, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Amukowa (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on August 7, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nashon (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Grace Majaliwa (Guest) on July 31, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kheri (Guest) on July 14, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwanaidi (Guest) on July 13, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Issack (Guest) on July 2, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Esther Nyambura (Guest) on June 20, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 15, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on June 12, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Sumari (Guest) on June 9, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on June 4, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Joyce Aoko (Guest) on May 27, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Zubeida (Guest) on May 14, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Christopher Oloo (Guest) on May 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Fatuma (Guest) on April 13, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Zawadi (Guest) on April 5, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Kimario (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ibrahim (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Mushi (Guest) on March 7, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 1, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on February 9, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwajuma (Guest) on January 17, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mary Sokoine (Guest) on January 10, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ibrahim (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Diana Mumbua (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kawawa (Guest) on December 11, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Tambwe (Guest) on December 5, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Victor Kimario (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 27, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Kiwanga (Guest) on September 22, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on September 18, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Safiya (Guest) on August 13, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Mligo (Guest) on August 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Mchome (Guest) on July 23, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on June 26, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

John Mushi (Guest) on June 21, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Kamande (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Mbithe (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?