Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Featured Image

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.

Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:-Β MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALEΒ πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Njuguna (Guest) on September 3, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 25, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Azima (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 4, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alice Jebet (Guest) on August 1, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Chum (Guest) on July 26, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Diana Mumbua (Guest) on July 22, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jamal (Guest) on July 18, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on July 18, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Salma (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mjaka (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Victor Sokoine (Guest) on May 11, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on April 16, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Josephine Nduta (Guest) on April 10, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mwafirika (Guest) on April 10, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on April 7, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on April 7, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Michael Mboya (Guest) on April 5, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on March 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Habiba (Guest) on March 23, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Paul Kamau (Guest) on March 17, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on February 19, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on January 20, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mwakisu (Guest) on December 29, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 16, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Mwinuka (Guest) on December 1, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on November 26, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Frank Macha (Guest) on October 16, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on September 17, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mchawi (Guest) on September 5, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Simon Kiprono (Guest) on August 12, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwafirika (Guest) on August 11, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Mwangi (Guest) on July 15, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on May 28, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on May 18, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 12, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Kamande (Guest) on April 17, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on April 2, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Emily Chepngeno (Guest) on February 21, 2018

😊🀣πŸ”₯

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 20, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Kawawa (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 21, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Kheri (Guest) on December 30, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Wangui (Guest) on December 21, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Bernard Oduor (Guest) on December 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Mugendi (Guest) on December 9, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Stephen Mushi (Guest) on November 26, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Okello (Guest) on November 25, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joseph Kiwanga (Guest) on November 16, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Ndungu (Guest) on September 14, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 10, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Sharifa (Guest) on April 21, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Kabura (Guest) on April 2, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rukia (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on March 13, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mrema (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Related Posts

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More