Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Featured Image

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefuta namba ya bosi wangu. Halafu boss mwenyew wa kike. Mida ya Saa mbili usiku nikawa chumbani kwangu. Mara simu ýÀñgΓΉ ikawa inaita. Kucheki namba ngeni. Nikapokea baada ya salamu. Meβ†’nani mwenzangu?? Bossβ†’we hunijui me ?? Meβ†’usinijbu swali kwa swali Nita kublacklist sasa hiv. Sipendagi ujinga.. Kwa sasa nazurura tu mtaani na roba langu La machupa

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanajuma (Guest) on August 14, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joyce Aoko (Guest) on July 17, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on July 9, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Zuhura (Guest) on July 8, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on June 29, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Martin Otieno (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Masika (Guest) on June 5, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Alice Mwikali (Guest) on May 17, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Njeru (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Sofia (Guest) on April 17, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Moses Mwita (Guest) on April 4, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on March 11, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on February 13, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on January 27, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Samson Mahiga (Guest) on November 21, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on November 4, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Anna Mchome (Guest) on October 18, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on August 30, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on August 6, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Wambura (Guest) on August 6, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on July 28, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Josephine Nekesa (Guest) on July 27, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Zubeida (Guest) on July 10, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Peter Otieno (Guest) on July 8, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Aziza (Guest) on June 18, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Sarah Mbise (Guest) on June 6, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Linda Karimi (Guest) on May 11, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Stephen Amollo (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Ndoto (Guest) on February 24, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

James Mduma (Guest) on February 1, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

George Ndungu (Guest) on January 26, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Sokoine (Guest) on January 23, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 22, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on January 13, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Paul Ndomba (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Martin Otieno (Guest) on December 16, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Peter Mwambui (Guest) on December 3, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on October 31, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Wanyama (Guest) on October 20, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on October 5, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Athumani (Guest) on October 3, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Arifa (Guest) on September 9, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Omar (Guest) on September 7, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Peter Tibaijuka (Guest) on August 28, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on August 22, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Rose Mwinuka (Guest) on August 6, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on August 1, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on July 19, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Aziza (Guest) on July 18, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 7, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Athumani (Guest) on June 12, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Alice Mrema (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lydia Wanyama (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on April 19, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Njoroge (Guest) on March 21, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on February 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More