Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Featured Image

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe yake maana ninapokunywa soda napenda kila mtu anywe
WATU :Β Ha! Ha! Ha! Haaaa!
JAMAA :Β Nipe mchemsho na kila mtu mpe wa kwake maana ninapokula mchemsho napenda kila mtu ale wake
WATU:Β Watu weweeee! Tena safari hii Na makofi juu..
JAMAA :Β Mhudumu, nipe bili na kila mtu mpe yake maana ninapolipa bili napenda kuona kila mtu analipa yake
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Malisa (Guest) on October 18, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on October 13, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on October 12, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mustafa (Guest) on August 6, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Nancy Komba (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ndoto (Guest) on July 6, 2019

Asante Ackyshine

Joseph Kiwanga (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on June 20, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mtumwa (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on June 8, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mahiga (Guest) on May 3, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on April 30, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanais (Guest) on April 21, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zubeida (Guest) on April 4, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on April 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on March 14, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mzee (Guest) on February 12, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Alice Wanjiru (Guest) on February 2, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Kimario (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on November 29, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joseph Mallya (Guest) on November 26, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on November 18, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Josephine Nduta (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwanais (Guest) on October 29, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Baridi (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mrope (Guest) on September 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on September 1, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Samson Mahiga (Guest) on August 19, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mwanais (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Samuel Were (Guest) on July 15, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Masika (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Kangethe (Guest) on June 28, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 26, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jackson Makori (Guest) on June 14, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on June 13, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 27, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Khadija (Guest) on April 15, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on April 10, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on April 2, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Agnes Njeri (Guest) on March 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on March 10, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nchi (Guest) on March 6, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Samson Mahiga (Guest) on February 19, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on January 13, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on January 9, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 16, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on December 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on December 1, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joyce Aoko (Guest) on September 3, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on September 3, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 29, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 25, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on August 20, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on July 23, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on July 20, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Tenga (Guest) on July 14, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Mushi (Guest) on June 29, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Related Posts

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More