Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.

Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000… Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.

Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.

Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.

Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.

Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.

NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"

Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hekima (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Rose Mwinuka (Guest) on March 24, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Kimaro (Guest) on March 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on March 8, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 3, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on March 2, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on February 12, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on January 27, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Khadija (Guest) on January 25, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Nora Kidata (Guest) on January 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Amir (Guest) on January 16, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ramadhan (Guest) on December 21, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Njoroge (Guest) on December 21, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rabia (Guest) on November 24, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on October 29, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on October 10, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Shamsa (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Tabitha Okumu (Guest) on August 23, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mchawi (Guest) on July 21, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nashon (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on July 15, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Sumari (Guest) on July 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mtaki (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Kawawa (Guest) on June 11, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issa (Guest) on June 1, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on May 3, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on April 29, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Simon Kiprono (Guest) on April 15, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Zawadi (Guest) on April 15, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on April 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on April 5, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on March 2, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on February 24, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on February 21, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on February 19, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on January 27, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Samson Mahiga (Guest) on July 29, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Musyoka (Guest) on July 6, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on July 5, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Edith Cherotich (Guest) on July 4, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on July 1, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rose Mwinuka (Guest) on June 21, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 13, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on June 10, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Shukuru (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samuel Were (Guest) on May 3, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on April 27, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on March 22, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Francis Njeru (Guest) on February 26, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on February 15, 2018

😊🀣πŸ”₯

Miriam Mchome (Guest) on February 4, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mary Njeri (Guest) on February 1, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Amir (Guest) on December 30, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joseph Kitine (Guest) on December 22, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More