Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote
ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao.
Mtafsiri: They don't cook any type of snacks
here,
maybe you can go back and eat at home.
Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena
sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usicheke pekeyako

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on May 17, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on April 27, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 9, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on March 21, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on February 29, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on February 26, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joseph Kitine (Guest) on February 9, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on January 27, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on January 19, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on January 4, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on December 14, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Baridi (Guest) on November 10, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Amani (Guest) on October 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Patrick Kidata (Guest) on October 2, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nahida (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 11, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on September 6, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mjaka (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

John Lissu (Guest) on June 13, 2019

🀣πŸ”₯😊

John Mwangi (Guest) on June 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Sarah Mbise (Guest) on May 26, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on May 4, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zakia (Guest) on April 10, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwanaidi (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Kangethe (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Robert Okello (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 18, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Malima (Guest) on January 3, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on December 23, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on December 17, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on December 15, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

James Kimani (Guest) on December 13, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ruth Wanjiku (Guest) on October 16, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mariam Kawawa (Guest) on September 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Mligo (Guest) on September 10, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Monica Adhiambo (Guest) on September 5, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Fikiri (Guest) on August 28, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nasra (Guest) on August 22, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Nancy Kabura (Guest) on August 8, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on July 13, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Grace Mushi (Guest) on July 10, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on July 2, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 2, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on June 29, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on April 27, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Mligo (Guest) on April 26, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 6, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on March 5, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on February 10, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

George Tenga (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Zuhura (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Warda (Guest) on January 21, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Kamau (Guest) on January 19, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Sumari (Guest) on December 1, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More