Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote
ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao.
Mtafsiri: They don't cook any type of snacks
here,
maybe you can go back and eat at home.
Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena
sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usicheke pekeyako

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on May 17, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on April 27, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 9, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on March 21, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on February 29, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on February 26, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joseph Kitine (Guest) on February 9, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on January 27, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on January 19, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on January 4, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on December 14, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Baridi (Guest) on November 10, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Amani (Guest) on October 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Patrick Kidata (Guest) on October 2, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nahida (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 11, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on September 6, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mjaka (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

John Lissu (Guest) on June 13, 2019

🀣πŸ”₯😊

John Mwangi (Guest) on June 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Sarah Mbise (Guest) on May 26, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on May 4, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zakia (Guest) on April 10, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwanaidi (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Kangethe (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Robert Okello (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 18, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Malima (Guest) on January 3, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on December 23, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on December 17, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on December 15, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

James Kimani (Guest) on December 13, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ruth Wanjiku (Guest) on October 16, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mariam Kawawa (Guest) on September 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Mligo (Guest) on September 10, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Monica Adhiambo (Guest) on September 5, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Fikiri (Guest) on August 28, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nasra (Guest) on August 22, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Nancy Kabura (Guest) on August 8, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on July 13, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Grace Mushi (Guest) on July 10, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on July 2, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 2, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on June 29, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on April 27, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Mligo (Guest) on April 26, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 6, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on March 5, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on February 10, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

George Tenga (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Zuhura (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Warda (Guest) on January 21, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Kamau (Guest) on January 19, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Sumari (Guest) on December 1, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More