Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abubakar (Guest) on November 22, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Isaac Kiptoo (Guest) on November 20, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Zulekha (Guest) on October 6, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Martin Otieno (Guest) on September 19, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on August 25, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Miriam Mchome (Guest) on July 14, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Nkya (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on July 3, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Kazija (Guest) on June 21, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwalimu (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on May 13, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Amir (Guest) on May 13, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Janet Sumari (Guest) on April 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Malima (Guest) on April 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Susan Wangari (Guest) on April 2, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Azima (Guest) on March 31, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Sarah Mbise (Guest) on March 13, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Hamida (Guest) on March 12, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on March 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwakisu (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kiwanga (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Akech (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Malela (Guest) on January 24, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on January 22, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on January 16, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on January 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on January 4, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on December 31, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rahma (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Grace Mushi (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarafina (Guest) on December 1, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Malecela (Guest) on November 27, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Henry Sokoine (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jafari (Guest) on September 23, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on September 10, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Raphael Okoth (Guest) on August 5, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on August 5, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mazrui (Guest) on July 27, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on April 14, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on April 14, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on March 27, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Francis Njeru (Guest) on February 22, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 17, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on February 13, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on January 23, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 30, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 27, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on December 9, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chris Okello (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Margaret Anyango (Guest) on November 27, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Related Posts

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More