Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Featured Image

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio kwani vp?

Mbona hatuoni matunda yake?

Kwani mi nlienda na miche ya mipapai au miembe au umeambiwa TIA, IFM na IAA wanakodisha Mashamba ya nyanya ????????

Hamna sio hvyo umeenda mbali kaka

Kama kilomita ngapi?

Haya yaishe bhana…

Ukome kwa kiherehere

Nitukane tuu unakumbuka kuna SKU nlkupa buku ya nauli?

Nitajie namba yako ya tgo pesa nkuwekee hyo buku

Kwani mi nimesema unilipe

Utajua mwenyewe ila nakutumia kwenye namba uliyonitext wee si umefanya ujinga mi nafanya upumbavu

Simple lyke dat Viherehere huwa tunawajbu HVOβ€¦β€¦πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edward Chepkoech (Guest) on December 29, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Moses Kipkemboi (Guest) on December 25, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on December 12, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Joyce Mussa (Guest) on October 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahma (Guest) on October 24, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rukia (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Mrope (Guest) on August 30, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on August 30, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on July 18, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 2, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 29, 2019

😊🀣πŸ”₯

Alice Mwikali (Guest) on June 23, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on June 19, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Alex Nakitare (Guest) on May 23, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on May 21, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Bernard Oduor (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Francis Njeru (Guest) on April 1, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Jane Muthui (Guest) on March 2, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jamal (Guest) on February 23, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Mallya (Guest) on February 1, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 29, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on January 15, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Samson Mahiga (Guest) on January 9, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Janet Sumaye (Guest) on December 9, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on November 29, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on November 10, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on September 28, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

George Wanjala (Guest) on August 21, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on June 29, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwakisu (Guest) on June 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mjaka (Guest) on June 22, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

David Chacha (Guest) on June 14, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on April 15, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on March 30, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Frank Macha (Guest) on March 11, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on March 10, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Shani (Guest) on February 17, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Raphael Okoth (Guest) on January 11, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Wafula (Guest) on December 30, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

James Kimani (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elijah Mutua (Guest) on December 17, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on December 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Nkya (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on November 26, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on November 19, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Chum (Guest) on November 19, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Thomas Mtaki (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

James Kimani (Guest) on November 9, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on October 20, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on October 9, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on September 17, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Monica Adhiambo (Guest) on August 26, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Kamande (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Faith Kariuki (Guest) on July 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on July 21, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Margaret Anyango (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Related Posts

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More