Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo… teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mazrui (Guest) on August 9, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on August 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on June 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on June 20, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Stephen Amollo (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mariam Kawawa (Guest) on May 30, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 27, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Anyango (Guest) on April 24, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on March 8, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mligo (Guest) on February 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on February 7, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Safiya (Guest) on February 6, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on December 30, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on December 29, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on December 19, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on December 15, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on December 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Tibaijuka (Guest) on November 27, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on November 22, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 25, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on October 13, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Yusuf (Guest) on October 12, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on October 12, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on October 7, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jane Muthoni (Guest) on October 6, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 26, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on September 14, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sultan (Guest) on September 9, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on August 21, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Josephine (Guest) on July 13, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Malima (Guest) on July 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on June 29, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alex Nyamweya (Guest) on June 17, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Abubakar (Guest) on June 2, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 26, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Peter Mugendi (Guest) on May 24, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on April 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 13, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 7, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Salma (Guest) on March 1, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Sumaya (Guest) on February 20, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mwanahawa (Guest) on February 17, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Ruth Mtangi (Guest) on February 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on January 30, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on January 24, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mercy Atieno (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on December 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Josephine Nekesa (Guest) on November 12, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on October 27, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 20, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Makame (Guest) on October 13, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Robert Ndunguru (Guest) on August 31, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mercy Atieno (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joy Wacera (Guest) on August 15, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on August 7, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on July 15, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?