Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo.

Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali",

Wakapiga magoti…:
MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake.
MUME: Emen…

MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko.
MUME: Emen…

MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe.
MUME: Kimya…

MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana.
MUME: …….!!

MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali.
MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe.

Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Paul Ndomba (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 26, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on January 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on January 7, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwinyi (Guest) on January 3, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nancy Komba (Guest) on December 28, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on December 20, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on December 14, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on December 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on November 15, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 5, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on October 24, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on October 16, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nashon (Guest) on October 13, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

David Kawawa (Guest) on September 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Azima (Guest) on August 20, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Mduma (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 19, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on July 9, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mrope (Guest) on July 2, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakia (Guest) on June 4, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on May 28, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Diana Mumbua (Guest) on May 12, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on April 27, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on April 27, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on April 21, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Kamande (Guest) on April 12, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on March 3, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Malela (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 2, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Salum (Guest) on January 29, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Yusra (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Margaret Mahiga (Guest) on January 11, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on December 26, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mwajuma (Guest) on December 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on December 10, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Nkya (Guest) on November 24, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on November 5, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on October 18, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Halima (Guest) on September 28, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Safiya (Guest) on September 27, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Wande (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mchuma (Guest) on September 13, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Christopher Oloo (Guest) on September 6, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Mushi (Guest) on September 3, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on August 12, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on August 10, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Azima (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on June 12, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on June 6, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on May 30, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on May 29, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nahida (Guest) on May 16, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Mary Njeri (Guest) on April 21, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on April 11, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More