Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Francis Mrope (Guest) on July 16, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on June 21, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Amina (Guest) on May 30, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on April 18, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on March 25, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Richard Mulwa (Guest) on March 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on March 21, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on March 10, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Linda Karimi (Guest) on March 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on January 3, 2022

😊🀣πŸ”₯

Raphael Okoth (Guest) on January 2, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Mwambui (Guest) on December 18, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on December 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 27, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Thomas Mtaki (Guest) on November 23, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on November 20, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Juma (Guest) on October 21, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Kikwete (Guest) on October 1, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Paul Kamau (Guest) on September 11, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on August 16, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Mushi (Guest) on July 29, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on July 10, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on June 23, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Malisa (Guest) on April 29, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 23, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on February 26, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Dorothy Nkya (Guest) on December 22, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Miriam Mchome (Guest) on December 21, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mary Kidata (Guest) on December 10, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rose Kiwanga (Guest) on November 18, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mhina (Guest) on October 28, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Tabu (Guest) on October 12, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mwajuma (Guest) on October 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mercy Atieno (Guest) on October 5, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on September 21, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Husna (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on September 2, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nasra (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on July 12, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Victor Malima (Guest) on June 20, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alex Nyamweya (Guest) on June 6, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Elizabeth Mrema (Guest) on May 26, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on May 22, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Mligo (Guest) on April 13, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on March 21, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sekela (Guest) on March 20, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hellen Nduta (Guest) on March 9, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ann Awino (Guest) on February 16, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Faiza (Guest) on February 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on January 15, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on January 14, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on December 13, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Athumani (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More