Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Featured Image

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, afu misiba mingi tu, wife nae kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata 'Laki Moja' ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi…?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mahiga (Guest) on February 19, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Latifa (Guest) on February 9, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on February 8, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on January 21, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Rehema (Guest) on December 17, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on November 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on November 2, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Bakari (Guest) on September 28, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Yusuf (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on September 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on August 20, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Hellen Nduta (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on July 10, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on June 29, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam (Guest) on June 27, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Philip Nyaga (Guest) on June 18, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on June 8, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Linda Karimi (Guest) on April 29, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Khatib (Guest) on April 5, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Wafula (Guest) on February 6, 2021

😊🀣πŸ”₯

James Mduma (Guest) on January 23, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on January 11, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Biashara (Guest) on December 30, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Violet Mumo (Guest) on December 7, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Peter Mbise (Guest) on December 4, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on November 27, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Susan Wangari (Guest) on November 13, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Umi (Guest) on November 13, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Anna Malela (Guest) on November 5, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 30, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on September 22, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Martin Otieno (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Rose Mwinuka (Guest) on August 15, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 30, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on July 5, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Fikiri (Guest) on June 27, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on June 3, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Hassan (Guest) on May 10, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Margaret Mahiga (Guest) on April 17, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Maneno (Guest) on March 16, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jafari (Guest) on March 13, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Jamila (Guest) on March 11, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nekesa (Guest) on February 24, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on February 22, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthui (Guest) on January 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on January 11, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on December 18, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on October 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rubea (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on October 1, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joy Wacera (Guest) on September 22, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on September 19, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 29, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam (Guest) on August 24, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Victor Mwalimu (Guest) on August 11, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Related Posts

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More