Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA: Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI: Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA: Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI: Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 1, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Agnes Njeri (Guest) on June 20, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on June 19, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Ruth Mtangi (Guest) on June 7, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Robert Ndunguru (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Chris Okello (Guest) on April 29, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on April 23, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on March 19, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on March 12, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on March 4, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rubea (Guest) on February 21, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Henry Sokoine (Guest) on February 6, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on January 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on January 24, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on January 13, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Kawawa (Guest) on January 5, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 28, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Samson Mahiga (Guest) on December 28, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jaffar (Guest) on December 16, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Mrope (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on December 3, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Wangui (Guest) on November 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on November 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Hashim (Guest) on November 1, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Josephine (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Wairimu (Guest) on October 28, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on October 20, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on September 18, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Samson Mahiga (Guest) on August 29, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on August 28, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on August 24, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on August 1, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on July 17, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Martin Otieno (Guest) on June 26, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Tabu (Guest) on June 11, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Wilson Ombati (Guest) on May 20, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on May 14, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Samuel Were (Guest) on April 28, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 17, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on April 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Irene Akoth (Guest) on February 15, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 4, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jamila (Guest) on December 2, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Irene Makena (Guest) on November 14, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Shamim (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Stephen Mushi (Guest) on October 13, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on October 9, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on September 13, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on September 8, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on August 24, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 6, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 30, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on June 3, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Ali (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anna Sumari (Guest) on April 23, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

John Mushi (Guest) on April 15, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Related Posts

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More