Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 1, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Agnes Njeri (Guest) on June 20, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on June 19, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Ruth Mtangi (Guest) on June 7, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Robert Ndunguru (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Chris Okello (Guest) on April 29, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on April 23, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on March 19, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on March 12, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on March 4, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rubea (Guest) on February 21, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Henry Sokoine (Guest) on February 6, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on January 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on January 24, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on January 13, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Kawawa (Guest) on January 5, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 28, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Samson Mahiga (Guest) on December 28, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jaffar (Guest) on December 16, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Mrope (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on December 3, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Wangui (Guest) on November 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on November 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Hashim (Guest) on November 1, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Josephine (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Wairimu (Guest) on October 28, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on October 20, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on September 18, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Samson Mahiga (Guest) on August 29, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on August 28, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on August 24, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on August 1, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on July 17, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Martin Otieno (Guest) on June 26, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Tabu (Guest) on June 11, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Wilson Ombati (Guest) on May 20, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on May 14, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Samuel Were (Guest) on April 28, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 17, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on April 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Irene Akoth (Guest) on February 15, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 4, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jamila (Guest) on December 2, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Irene Makena (Guest) on November 14, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Shamim (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Stephen Mushi (Guest) on October 13, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on October 9, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on September 13, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on September 8, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on August 24, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 6, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 30, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on June 3, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Ali (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anna Sumari (Guest) on April 23, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

John Mushi (Guest) on April 15, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Related Posts

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More