Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No!

Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza "are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako…..Shenz mkubwa mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 18, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on September 18, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mzee (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Wangui (Guest) on September 8, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joy Wacera (Guest) on August 31, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 20, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Mwangi (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on August 5, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on August 2, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Halimah (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Njeri (Guest) on July 12, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on June 30, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mary Sokoine (Guest) on June 24, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Biashara (Guest) on June 4, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Diana Mumbua (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on April 23, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Aziza (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Mariam Hassan (Guest) on March 27, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on March 3, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on February 14, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ibrahim (Guest) on February 1, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on January 27, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on January 20, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on January 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on January 17, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Kiwanga (Guest) on December 6, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Miriam Mchome (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Mushi (Guest) on November 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on November 14, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mary Kidata (Guest) on October 27, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on September 23, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on August 4, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on July 16, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Mtangi (Guest) on June 23, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on June 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on June 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on May 16, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on May 2, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on April 23, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mashaka (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Carol Nyakio (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nyota (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwanaidha (Guest) on March 18, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Agnes Njeri (Guest) on March 16, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Agnes Njeri (Guest) on March 8, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 20, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on February 7, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Monica Adhiambo (Guest) on January 5, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Elizabeth Malima (Guest) on December 27, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 8, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sekela (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mwikali (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on August 24, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Khatib (Guest) on August 20, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alex Nakitare (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Related Posts

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More