Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station

"Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…"

Mtangazaji akasema:- Akhasante sana John, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama ana kusikiliza akutafute kwa No. Gani!?

John: Hapana, mi nilikuwa namshukuru tu maana amenitoa kwenye matatizo na ninapenda kumuombea Dedication wimbo wa Snura "MAJANGA" umfikie popote pale alipo…!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joy Wacera (Guest) on November 13, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on October 22, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 14, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on September 11, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on August 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on August 20, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 9, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 8, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Mushi (Guest) on August 4, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

John Mwangi (Guest) on July 13, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on July 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on June 26, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Faith Kariuki (Guest) on June 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on June 5, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on May 12, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 30, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on March 16, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 7, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on March 4, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Muslima (Guest) on February 23, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on February 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on January 11, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joy Wacera (Guest) on January 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on January 3, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on December 21, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 6, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Mwinuka (Guest) on October 28, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 9, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Musyoka (Guest) on August 27, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on August 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on August 18, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 24, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Sultan (Guest) on July 8, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on July 2, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on June 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on May 24, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on May 21, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 20, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on April 25, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Stephen Kangethe (Guest) on March 26, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Susan Wangari (Guest) on March 4, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Diana Mumbua (Guest) on March 3, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on February 25, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Maulid (Guest) on January 28, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on January 14, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Henry Sokoine (Guest) on January 13, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Lucy Wangui (Guest) on January 5, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on December 10, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Zulekha (Guest) on November 7, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwanakhamis (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

James Mduma (Guest) on September 8, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on August 12, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on August 6, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Alex Nakitare (Guest) on August 4, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Mahiga (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on June 21, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Njuguna (Guest) on June 11, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More