Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.





MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.





MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samuel Omondi (Guest) on February 27, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zawadi (Guest) on January 31, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nahida (Guest) on January 15, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Wanjala (Guest) on January 14, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on December 20, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 16, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Tabitha Okumu (Guest) on November 20, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on November 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kijakazi (Guest) on November 13, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Patrick Akech (Guest) on October 6, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Daudi (Guest) on October 4, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mtaki (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Ndungu (Guest) on August 26, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Janet Wambura (Guest) on August 20, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

George Mallya (Guest) on August 6, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shabani (Guest) on July 19, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ali (Guest) on July 14, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jane Malecela (Guest) on July 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on June 17, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Kahina (Guest) on June 13, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on May 2, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zakia (Guest) on May 1, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Omar (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Victor Malima (Guest) on March 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 13, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 23, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on February 4, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on January 19, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Fredrick Mutiso (Guest) on December 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on December 4, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanajuma (Guest) on November 28, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on November 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 12, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on October 28, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on October 3, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sofia (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Sokoine (Guest) on August 15, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nancy Komba (Guest) on June 28, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on June 14, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on May 18, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on May 15, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on May 2, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on April 21, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Waithera (Guest) on March 10, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 20, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on February 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Salima (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 29, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Maida (Guest) on January 24, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Agnes Lowassa (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on January 17, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 22, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Related Posts

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More