Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Wangui (Guest) on May 18, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on May 18, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 19, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Henry Sokoine (Guest) on April 8, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on April 3, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on March 13, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sumaya (Guest) on March 3, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on February 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on February 14, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on February 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 26, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on December 18, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on December 17, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Thomas Mtaki (Guest) on December 14, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on October 30, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on October 20, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on October 16, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on October 14, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Linda Karimi (Guest) on October 13, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on September 13, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on August 28, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nancy Kabura (Guest) on August 19, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Salum (Guest) on July 30, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kimario (Guest) on July 16, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mashaka (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Malima (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on April 22, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Simon Kiprono (Guest) on March 28, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 28, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Alice Jebet (Guest) on February 23, 2020

😊🀣πŸ”₯

Rose Amukowa (Guest) on February 2, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 22, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rukia (Guest) on January 12, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on December 22, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on December 5, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

James Kimani (Guest) on November 19, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on October 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on August 27, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Bahati (Guest) on August 19, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Mtangi (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nora Lowassa (Guest) on July 13, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on July 5, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on July 4, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Henry Sokoine (Guest) on June 16, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Elizabeth Malima (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on May 24, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Henry Mollel (Guest) on May 17, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on April 9, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on April 7, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on March 18, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on February 7, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Monica Adhiambo (Guest) on February 5, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on February 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More