Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Featured Image

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yesu./ Jina la yule msaliti aliyemwuza Yesu/ limewafanya wengi wakusahau./ Walakini Kanisa zima linakuheshimu/ na kukuomba kama Msaidizi katika mashaka makubwa,/ na katika mambo yasiyo na matumaini tena./





Uniombee mimi mnyonge./ Ninaomba utumie uwezo ule uliojaliwa/ wa kuleta upesi msaada kwa watu walioukosa./ Unisaidie sasa katika mahitaji yangu,/ ili nipate kitulizo na msaada wa mbinguni/ katika lazima zangu,/ masumbuko na mateso,/ hasa/ (taja shida yako)./ Pia ili niweze kumsifu Mungu nawe na wateule wote milele./





Mtakatifu Yuda Tadei,/ utuombee,/ na uwaombee watu wote wanaokuheshimu na kukuomba msaada./





Moyo Mtakatifu wa Yesu,/ Rafiki mpenzi wa Yuda Tadei,/ nakutumainia./





(Mwisho Sali: Baba yetu (x3), Salamu Maria (x3) na Atukuzwe(x3).


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Mwalimu (Guest) on July 13, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Anthony Kariuki (Guest) on June 30, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Daniel Obura (Guest) on June 6, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Esther Nyambura (Guest) on May 16, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Joyce Mussa (Guest) on January 11, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Esther Nyambura (Guest) on December 4, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Paul Kamau (Guest) on October 5, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Josephine Nekesa (Guest) on October 3, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Catherine Naliaka (Guest) on September 16, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Thomas Mtaki (Guest) on September 6, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Joyce Nkya (Guest) on June 17, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Sarah Mbise (Guest) on June 1, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

John Kamande (Guest) on April 19, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Peter Mbise (Guest) on April 6, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Anna Kibwana (Guest) on February 25, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Carol Nyakio (Guest) on February 16, 2016

Rehema hushinda hukumu

James Mduma (Guest) on February 10, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Grace Wairimu (Guest) on December 17, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Amukowa (Guest) on November 27, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Francis Njeru (Guest) on July 27, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Andrew Mchome (Guest) on July 18, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Philip Nyaga (Guest) on June 21, 2015

Endelea kuwa na imani!

Kenneth Murithi (Guest) on April 19, 2015

Rehema zake hudumu milele

Related Posts

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More