Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua wewe, kama mwombezi wangu kwa Mungu Mwenyezi, na pia kama mfano wangu, na mlinzi wangu, na baba yangu, katika bonde hili la ugenini.


Ee Mt. Yosefu, ambaye Bwana alikufanya mlinzi wa Familia yake, ninakuomba uwe mlinzi wangu mwema katika mambo yangu yote. Uniwashie moyoni mwangu moto wa mapendo makuu kwa Yesu, na uniwezeshe kumtumikia kwa bidii na kwa uaminifu kwa mfano wako. Nisaidie katika udhaifu wangu katika kumheshimu Mama Maria kama Mwombezi wangu.

Daima uwe kiongozi wangu katika njia ya fadhila na ibada, na unijalie, baada ya kukufuasa kwa uaminifu katika njia ya haki, nipate ulinzi wako wenye nguvu katika saa ya kufa kwangu.
Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Nkya (Guest) on April 19, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Janet Sumari (Guest) on March 6, 2017

Sifa kwa Bwana!

George Tenga (Guest) on February 15, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Margaret Mahiga (Guest) on February 12, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Raphael Okoth (Guest) on December 11, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Michael Mboya (Guest) on October 23, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Joseph Mallya (Guest) on October 22, 2016

Rehema zake hudumu milele

Francis Mrope (Guest) on October 1, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Michael Mboya (Guest) on June 20, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Akech (Guest) on June 15, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Sarah Mbise (Guest) on March 27, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Mariam Kawawa (Guest) on February 25, 2016

Dumu katika Bwana.

Jane Muthoni (Guest) on February 10, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Alice Wanjiru (Guest) on January 18, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Violet Mumo (Guest) on January 10, 2016

Endelea kuwa na imani!

Anna Sumari (Guest) on January 7, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Alice Wanjiru (Guest) on December 27, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Joyce Aoko (Guest) on November 17, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 16, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Violet Mumo (Guest) on October 27, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Janet Mwikali (Guest) on October 2, 2015

Nakuombea πŸ™

Chris Okello (Guest) on September 20, 2015

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Agnes Lowassa (Guest) on August 10, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Mushi (Guest) on May 5, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Related Posts

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More