Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SALA YA IMANI

Featured Image

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;

Kwani ndiwe uliyefundisha hayo,

wala hudanganyiki,

wala hudanganyi. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Akech (Guest) on October 25, 2017

Sifa kwa Bwana!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 19, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Anna Sumari (Guest) on September 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Mary Mrope (Guest) on August 19, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Sarah Karani (Guest) on July 5, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 8, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Lucy Kimotho (Guest) on March 6, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mtei (Guest) on September 30, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Fredrick Mutiso (Guest) on August 23, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Nancy Akumu (Guest) on June 20, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Francis Njeru (Guest) on February 24, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Minja (Guest) on February 20, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Jane Muthui (Guest) on December 9, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Nora Kidata (Guest) on August 31, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Irene Makena (Guest) on August 24, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Peter Mbise (Guest) on July 25, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Isaac Kiptoo (Guest) on July 25, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Charles Mrope (Guest) on July 23, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Esther Nyambura (Guest) on June 25, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Lucy Wangui (Guest) on May 9, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Anna Malela (Guest) on May 6, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Related Posts

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More