Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.
Kuweka nia njema
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More
LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More
Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More
SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI
SALA YA ASUBUHI
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More
Sala kwa wenye kuzimia
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More
SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More
SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More
LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B...
Read More
ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA
Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima
(Tumia rosari ya kawaida... Read More
SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE
Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More
SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More
David Nyerere (Guest) on July 23, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Elizabeth Malima (Guest) on July 20, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2017
Imani inaweza kusogeza milima
Diana Mallya (Guest) on February 6, 2017
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Patrick Akech (Guest) on February 4, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2017
ππ Neema za Mungu zisikose
Mary Mrope (Guest) on December 3, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Wilson Ombati (Guest) on October 9, 2016
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Jane Muthoni (Guest) on September 2, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Anna Sumari (Guest) on August 21, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Esther Cheruiyot (Guest) on December 22, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Hellen Nduta (Guest) on December 21, 2015
Rehema hushinda hukumu
Jane Muthui (Guest) on December 11, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Victor Kimario (Guest) on November 12, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Stephen Amollo (Guest) on October 12, 2015
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Samson Mahiga (Guest) on October 2, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Daniel Obura (Guest) on September 8, 2015
ππ Mungu wetu asifiwe
Jane Malecela (Guest) on August 18, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Victor Kimario (Guest) on June 12, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Peter Otieno (Guest) on April 27, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Michael Mboya (Guest) on April 6, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida