Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.

Kuweka nia njema
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania
Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI
Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na...
Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Malkia wa Mbingu
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Majitoleo ya Asubuhi
Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA
Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More
David Nyerere (Guest) on July 23, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Elizabeth Malima (Guest) on July 20, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2017
Imani inaweza kusogeza milima
Diana Mallya (Guest) on February 6, 2017
πβ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku
Patrick Akech (Guest) on February 4, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2017
ππ Neema za Mungu zisikose
Mary Mrope (Guest) on December 3, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Wilson Ombati (Guest) on October 9, 2016
πβ¨π Mungu atajibu maombi yako
Jane Muthoni (Guest) on September 2, 2016
πβ¨ Mungu atupe nguvu
Anna Sumari (Guest) on August 21, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2016
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2016
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Esther Cheruiyot (Guest) on December 22, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Hellen Nduta (Guest) on December 21, 2015
Rehema hushinda hukumu
Jane Muthui (Guest) on December 11, 2015
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Victor Kimario (Guest) on November 12, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Stephen Amollo (Guest) on October 12, 2015
πβ€οΈβ¨ Asante Mungu kwa kila kitu
Samson Mahiga (Guest) on October 2, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Daniel Obura (Guest) on September 8, 2015
ππ Mungu wetu asifiwe
Jane Malecela (Guest) on August 18, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Victor Kimario (Guest) on June 12, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Peter Otieno (Guest) on April 27, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Michael Mboya (Guest) on April 6, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida